Hupati mtu, squre meter 1,000 kwa million 30?
Bei ya Posta unapeleka kinyerezi...!
usiwe mshamba wewe.......... hamna sehemu ambayo viwanja hapa, ni pesa yako tu, kariakoo kwenyewe vipo kibaohivi posta kuna viwanja nitafutie.
madalali ni wajinga sana mkuu. unakuta bei aliyoambiwa na mmiliki ni 12000 kwa sq 1 lakin lenyewe linaanzia 30000 ili ushukie nae mpk 20000 akupige 8000 ya juu20X20 ni sawa na 12Milioni kwa Bei yake.
hivi posta kuna viwanja nitafutie.
Hupati mtu, squre meter 1,000 kwa million 30?
Atapata wengi tu.
Huko Kinyerezi wakati vilipotangazwa kuuzwa na serikali 2011/12 viliuzwa sh. 10,000/sq meter.
So sio ajabu sahivi mlanguzi akaweka dau lake.
labda ajiuzie, sq 1 elfu 30. unless in seehmu inayofaa ku invest kitu kama shule
iyo bei kwa kiwanja plot yenye hati(assuming its undeloped 1) ata kinondoni tuh hupati...Bei ya Posta unapeleka kinyerezi...!
hivi posta kuna viwanja nitafutie.
Huna akili wewe.... Hicho kiwanja kwanza hujaingia gharama yoyote, ardhi umeikuta ipo duniani bureeeeeeeee wewe unauza bei za kisenge kisenge tu.
Mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuu