Viwanja vinauzwa kigamboni

Viwanja vinauzwa kigamboni

dansmith

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
2,305
Reaction score
2,096
Viwanja vinauzwa kigamboni eneo la Mwembe mdogo kuna heka moja,nusu heka na 20 kwa 35 bei nzuri kwa aliyeyari ani pm tuzungumze

Kazi njema
 
Viwanja vinauzwa kigamboni eneo la Mwembe mdogo kuna heka moja,nusu heka na 20 kwa 35 bei nzuri kwa aliyeyari ani pm tuzungumze

Kazi njema

mkuu biashara ya mtandao haiendi hivyo Fanya weka bei kabisa hapa wenye uhitaji na viwanja tujufuate huko pm maana bei unaweza kutushawishi pia .sasa nikufuate pm wakati wauza milion 50 au 100?? wakati sina uwezo huo??

au wewe Dalali mkuu


funguka hapa kiwanja ukubwa na robo heka bei kiasi kadhaa.au ekari 1 au sijui miguu kadhaa kwa kadhaa kiasi flani ili angalau MWENYE kukalibia na bei yako hiyo anaweza kukutafuta huko pm KWa maelewano zaidi
 
mkuu biashara ya mtandao haiendi hivyo Fanya weka bei kabisa hapa wenye uhitaji na viwanja tujufuate huko pm maana bei unaweza kutushawishi pia .sasa nikufuate pm wakati wauza milion 50 au 100?? wakati sina uwezo huo??

au wewe Dalali mkuu


funguka hapa kiwanja ukubwa na robo heka bei kiasi kadhaa.au ekari 1 au sijui miguu kadhaa kwa kadhaa kiasi flani ili angalau MWENYE kukalibia na bei yako hiyo anaweza kukutafuta huko pm KWa maelewano zaidi

OK mkuu like cha 20/35 ni 7m, kile cha nusu heka ni 12m na kile cha heka moja ni 20m mazungumzo yapo. Karibu sana
 
Brother me nakaa kigamboni kibada, hebu nielekeze huko then tuzungumze biashara ,
 
Weka namba yako hapa...ww unafanya biashara ya kuficho kama dawa za kulevya...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom