Viwanja na mashamba kibaha msangani.

Viwanja na mashamba kibaha msangani.

Jichokuu

Member
Joined
Apr 28, 2012
Posts
48
Reaction score
1
Wadau kwa wale wanaohitaji tafadhali tuwasiliane, 0719081205 au ni PM.
 
Natafuta kiwanja chenye ukukwa wa nusu heka kiwe kwenye barabara kubwa kubwa mfano kama pale kwa MATHIAS kuelekea Filbert bayi school kuanzia kibamba hadi kongowe.
 
Natafuta kiwanja chenye ukukwa wa nusu heka kiwe kwenye barabara kubwa kubwa mfano kama pale kwa MATHIAS kuelekea Filbert bayi school kuanzia kibamba hadi kongowe.

Viwanja hivi viko msangani barabara hiyo ya filbet bayi ila ni km 6 toka kwa matias
 
me nahitaji kilomita moja toka kwa matias kuelekea ndani,kikipatikana nijulishe kina ukubwa gani na bei.
 
Natafuta kiwanja chenye ukukwa wa nusu heka kiwe kwenye barabara kubwa kubwa mfano kama pale kwa MATHIAS kuelekea Filbert bayi school kuanzia kibamba hadi kongowe.

Nimeku-PM mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom