Viwanja Mbweni

Viwanja Mbweni

Bizney

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2013
Posts
454
Reaction score
48
Kwa wale wanaohitaji viwanja vilivyopimwa Mbweni Dsm, ujazo ni sq m 1258 sq m 1100 sq m 950 na sq m 850 vyote vina hati
kwa mawasiliano piga no 0773 944 944
 
Kwa wale wanaohitaji viwanja vilivyopimwa Mbweni Dsm, ujazo ni sq m 1258 sq m 1100 sq m 950 na sq m 850 vyote vina hati
kwa mawasiliano piga no 0773 944 944
Weka bei
 
kalafu ungesema upna ni mita ngapi
na urefu mita ngapi
na bei
 
Nyie kila cku mnakumbushwa ukipost bidhaa ya kuuza weka na bei nyie wa wapi? Mbweni ya kule kwa wang'oa kucha na meno?
 
Mkuu bei bhana. Hiyo bidhaa ni nyeti sana na inaenda vema kama unataja bei na ukubwa wa plot. Au ndo mara yako ya 1 kuifanya hii bizinezi?
 
Kwa wale wanaohitaji viwanja vilivyopimwa Mbweni Dsm, ujazo ni sq m 1258 sq m 1100 sq m 950 na sq m 850 vyote vina hati
kwa mawasiliano piga no 0773 944 944

Mimim nahitaji kisichozidi 15m sehemu yeyote mbweni ila kiwe kwenye viwanja vya mradi (vilivyopimwa na serikali). Ukubwa kuanzia 800sq m.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom