Mangi wa Rombo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 207
- 144
- Thread starter
-
- #21
Duh! We labda ulienda nunua mikumi! Sa Mkundi kuna hifadhi ipi? Kama hauna uhakika mkuu acha kuropoka!Tuwe makin jaman kuna maeneo kayataja yana utata. Kabla hujanunua hakikisha una taarifa zote mm nilitaka kuuziwa hifadhi huko
Basi unania mbaya mkuu....mimi mwenyeji maeneo hayo hata ukinitukana poa tu ila huko kuna wezi sana wa viwanja feki. kuweni makini tu jamani. Hapo mkundi/makunganya kuna hifadhi ya watu wa misitu ya taifa, ni eneo kubwa sana na wameng'oa mawe/vigingi/nguzo call whatever ili mgeni akienda asigundue. Hata hizo hati kuna watu wanazo hati feki pia. Kiujumla mnunuaji kuwa makini hayo maeneo kila mtu anayatolea macho....mm nikaamua kuhamia huku Iringa road japo hakuna umeme ila soon utafika tu na viwanja bado cheap sana...
asante mkuu, huko Iringa rd bei zake zinaanzia ngapi? Unaweza niulizia? Umeme taratibu utafika tu
Vipimo ulivyoandika vinanichanganya. Unazungumzia ukubwa wa EKA MOJA au HEKTA MOJA.
Habari!
Kama unahitaji kiwanja Kwa mkoa wa Morogoro tuwasiliane!
Viwanja vipo sehemu zifuatazo:
Katikati ya mji (Kihonda, Kichangani, Nanenane na Kilakala.) Bei kuanzia 8Mil kwa heka.
Nje kidogo ya mji Mkundi, Makunganya, Kwa Mwarabu (Kote huko daladala zipo na za uhakika muda wote wa kazi) bei kuanzia laki 8 kwa heka.
Kama upo morogoro na unaufaham mji wa morogoro basi utakubaliana na mimi kwamba hiyo ni bei "chee" ukilinganisha na spidi ya kukua kwa mji!
Kama una nia kweli ya kununua, nicheki kwa namba hizi: 0762494688 Tafadhali usibip! Ama unaweza nicheki Facebook kwa kunitafuta kwa username "Mtei Junior Deodath"
Duh! We labda ulienda nunua mikumi! Sa Mkundi kuna hifadhi ipi? Kama hauna uhakika mkuu acha kuropoka!
Basi unania mbaya mkuu....mimi mwenyeji maeneo hayo hata ukinitukana poa tu ila huko kuna wezi sana wa viwanja feki. kuweni makini tu jamani. Hapo mkundi/makunganya kuna hifadhi ya watu wa misitu ya taifa, ni eneo kubwa sana na wameng'oa mawe/vigingi/nguzo call whatever ili mgeni akienda asigundue. Hata hizo hati kuna watu wanazo hati feki pia. Kiujumla mnunuaji kuwa makini hayo maeneo kila mtu anayatolea macho....mm nikaamua kuhamia huku Iringa road japo hakuna umeme ila soon utafika tu na viwanja bado cheap sana...