Viwanja Bagamoyo vinauzwa

Viwanja Bagamoyo vinauzwa

Mgibeon

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2011
Posts
11,379
Reaction score
21,717
Ahlan Wasahlan wakuu.. Kuna viwanja vinauzwa bagamoyo mt40 kwa 40.. Vipo eneo flan linaitwa Kiromo km chache kabla ya kufika mjini... Viwanja hivi vipo umbali wa mita 120 hivi kutoka ktk barabara ya dar- bagamoyo... Bei ni maelewano.. Havina hati.. Ni eneo lililozungukwa na makazi ya watu.. Ni karibu mkabala na wanapojenga makumbusho ya taifa....Dalali haitajiki... Kwa wanaohitaji wampigie muhusika huyu 0754964177 anaitwa Julio.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom