Hv mtatufanya watanzania kuwa wajinga hata lini!?
Nashangaa mnatudanganya wazi wazi kama mchezo wa kuigiza! katka swala la katiba yenu mnayoitengeneza tamkeni hadharani ni katiba ya ccm na si katiba ya JMT. manake warioba alienda kwa wananchi akaleta maoni. nyie mkayapuuzia, wananchi wakalalamika mkawapuuza. ukawa wakalalamika mkawatukana. maaskofu wakanena nao mkawakashifu, mabalozi wakaaambia mkasema eti wanaingilia mambo ya ndani. hivi hamuoni aibu kukosolewa jambo hilohilo kutoka kila kona!
mna uhalali gani ninyi mpuuze maoni ya wenye nchi!? kila kona mnakosolewa hamuoni hata aibu!?