Nasikia Uto huko kigamboni baada ya Viongozi wa FIFA kuwasili wametumia Nguvu kubwa kujitambulisha na bado Collina, Wenger, Ifantino hawajawatambuwa, Eti wameulizwa Mnacheza Ligi gani", Wamejibu tunacheza ligi moja na Simba SC Tanzania ili iwe rahisi na wao kujulikana, Duh