Mwaka 1993 wala hujazaliwa au pengine ulikuwa bado kwenye nepi...
Appreciate greatness when you see it. Una bahati sana kuishuhudia Yanga yenye ubora kama huu. Utakuja kusimulia watoto, wajukuu, vitukuu na vilembwe vyako. Halafu yaani kama nakuona na mkongojo wako ukijaribu kutetema kama Mayele. Basi vitukuu babuuuuuuu havina mbavu! πππ