Vituko mitandaoni. Tupia chako

MUONEKANO WA MALAIKA Najua ushawahi kusifiwa na kuambiwa kuwa unaonekana mzuri kama Malaika na wewe unaichukuliaga kama Compliment! Ila ukiangalia Biblia inabidi ujihisi umetukanwa
Mara nyingi Malaika wanaonekana kama Wazuri,Ngozi Ang'avu na Mabawa,weupe,na wana Halo
 
Sura zote hakukufanyi kustuka na Kuzimia sijui utakuwaje, Makerubi wana seti mbili za mbawa seti moja kwajili ya Kupaa nyingine kujikinga mwili wake kuongezea wana Miguu Mirefu minyoofu na kwato za fahali zinang'aa na zinaogopesha
 
Aina ya Pili aliyoelezea Ezekiel ni Balaa kabisaa, Kutana na Malaika Anaitwa Ophanim kutokana na Kigiriki neno Ophanim lina maana ya Gurudumu
jina linaendana sababu Ezekiel aliona Malaika wa Bwana wakiwa wanaelea Jicho limejikinga kama Gurudumu linawakaa kama Vito
,
 
Kuna aina nyingine ya Malaika ambao wanafanana kidoogo na Binadamu, hawa ni Wajumbe wa Bwana hawa wanafanana sababu wakitumwa wanatumia umbile lolote lile watakalo mara nyingi wanakuja kama Wanaume. Mfano Archangel Michael kama alivyoelezewa na Daniel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…