Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wale wote wanaosali kwa kuhani Musa mkimaliza ibada mrudi majumbani kwa wakati kutakuwa na kampeni ya kamatakamata kwa watakaokutwa wamelala au kupika karibu au jirani na ENEO la kanisa kwani amewakana wamini wanaopiga kambi kwake. Hivyo wataarifu ndugu,jamaa na marafiki hasa wanaokuja dsm na kukosa malazi.na wengine kwenda kutelekezwa zahanati ya kimara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…