Vituko mitandaoni. Tupia chako

hahahaha.hy ya godoro nilikutana nayo kigali 2010.hahahaha.ilikua balaa
 
Mbona povu kamanda? Jukwaa la siasa lisije likahamia huku stress free zone!

Na kulamba asali wala hakuhusiani na GDP. Hata ripoti ya CAG haikupi mwanga kuhusu ulambaji wa asali unavyofanyika katika nchi hii? Kula kulingana na urefu wa kamba yako je?

 
Duh naona hujaelewa brother nimeitoa Twitter hiyo check link yake ipo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…