Mkuu unasema tu kuwa mbususu haina makombo, lakini kuna zenye zimetumika roughly mileage inasoma 150k and above huko! hebu imagine ya huyu dada unadhani itakuwa inafaa tena kwa matumizi ya kawaida
Wala chips hata hizo raundi mbili hawafiki, ila hata hao wa wali na biriani hamna kitu, kidume ni yule anashusha ugali, viazi vitamu, magimbi, mihogo ya kuchemshwa....
Maisha hayaa,watu tunatoka mbali sanaaaa,vijana wa leo wakiambiwa inatakiwa miaka mitano ya mchakamchaka ndio uelewe maana ya mafanikio,wanaona bora waolewe na wanawake watu wazima wenye mafanikio tayari,kisa hawataki shuruba.
Wala chips hata hizo raundi mbili hawafiki, ila hata hao wa wali na biriani hamna kitu, kidume ni yule anashusha ugali, viazi vitamu, magimbi, mihogo ya kuchemshwa....