Hiki ndicho kinyesi kikubwa zaidi cha binadamu kuwahi kupatikana. Kilikuwa cha Viking mgonjwa katika karne ya 9 BK na sasa kina thamani ya $ 39,000.
Kinyesi "chenye thamani" kinaitwa rasmi Lloyds Bank Coprolite. Neno "coprolite" linamaanisha kinyesi cha zamani. Kielelezo hicho kinaaminika kuwa kikubwa zaidi kuwahi kurekodiwa.
Hivi inagharimu kiasi gani cha pesa kuotesha miti ya Jacaranda kwenye barabara za mitaa ya miji yetu? Mbona inaonekana ingependeza sana kwa gharama kidogo
View attachment 3201092
Hivi inagharimu kiasi gani cha pesa kuotesha miti ya Jacaranda kwenye barabara za mitaa ya miji yetu? Mbona inaonekana ingependeza sana kwa gharama kidogo