Jodeo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 1,286
- 1,332
Wadau habari?
Kuna mdau anahamia mkoa wa mbali kikazi na kwa sababu hiyo ameamu kuuza baadhi ya vitu vyake vya ndani kama ifuatavyo:
1. Sofa (za watu wawili*3),
2. jiko la gesi la kioo (2 plates)
3. Mtungi wa gesi (Mihan 15Kg)
4. Flat screen Tv (32" TCL),
5. Kitanda cha chuma (6*5 ),
6. Godoro 6*5 (Confy),
7. Fridge (Hiscence) n.k.
Mdau yupo Morogoro mjini. Kama unahitaji chochote na bei yake njoo inbox.
NB: Vitu hivi vitakuwa sokoni hadi ijumaa jioni.
Karibu & asante.
Kuna mdau anahamia mkoa wa mbali kikazi na kwa sababu hiyo ameamu kuuza baadhi ya vitu vyake vya ndani kama ifuatavyo:
1. Sofa (za watu wawili*3),
2. jiko la gesi la kioo (2 plates)
3. Mtungi wa gesi (Mihan 15Kg)
4. Flat screen Tv (32" TCL),
5. Kitanda cha chuma (6*5 ),
6. Godoro 6*5 (Confy),
7. Fridge (Hiscence) n.k.
Mdau yupo Morogoro mjini. Kama unahitaji chochote na bei yake njoo inbox.
NB: Vitu hivi vitakuwa sokoni hadi ijumaa jioni.
Karibu & asante.