Amiiii Sedouf,
Wambaaje,wabessaaa
Sasa mie ningekushauri useme viti tu vinauzwa,,maana shule zetu nyingi zenyewe wanakalia viti vya mbao na hivyo vinatumika hadi kwenye kumbi za sherehe maana vipo poa.
Sasa uki target shule tu ili kupata uuzaji wa jumla pia upande wa pili unaukosa.
Ni wazo lango tu mkuu.