Hawa Nida hata siwaelewi,maana kwa mfano kwa Wilaya ya Ilala ambamo ndipo makazi yangu,mara nyingi nakua nje ya Taz kama mwezi kisha narudi baada ya iki naondoka tena,nikiwa DRC nikasikia tangazo kupitia radio moja ya Tz kuhusu kujiandikisha kwa kupata kitambulisho,niliporudi nikaambiwa kwa huku zoezi limeshapita,nikaenda Serikali za Mtaa,ckupata maelekezo yoyote,sasa sijui nikajiandikishie wilaya nyingine?!