NAAM MABADIRIKO YA KWELI AFRICA,
Hayatakuja kwa maombi, tume za uchaguzi, kubadirisha katiba.
Yatakuja baada ya hatua za vita za wenyewe kwa wenyewe. Mkichoka kupigana mnajaa meza moja na kuunda utaratibu wa pamoja, mifumo ya pamoja, mifumo ya kuketa haki kwa wote. PALIPO NA HAKI, AMANI UISHI.
UOGA NA HOFU za waafrica, inatafsiriwa kama ya nchi zenye utulivu na Amani