Wadau nashukuru kwa maoni,ushauri na elimu tenki nililojenga ni la duara kina chake ni futi 14 na upana wake ni futi 8 so from up to down futi zinalingana na upana vile vile the same futi 8 from up to down so please nipeni vipimo vya kitaalamu regardless kuwa mtu unajua au hujui hesabu kubwa hapa ni elimu kwa wana JF wote nataka kujua exactly lita zitakazoingia kwny kisima/tenk husika