fihavango Member Joined Oct 16, 2013 Posts 17 Reaction score 2 Jun 4, 2014 #1 Habari wanajamii? Naombeni taarifa zozote zinazo husiana na E-Government, maana walitoa post za kazi lakini mpaka sasa hivi hakuna updates zozote, je kunamtu anatarifa kuhusu hawa watu?
Habari wanajamii? Naombeni taarifa zozote zinazo husiana na E-Government, maana walitoa post za kazi lakini mpaka sasa hivi hakuna updates zozote, je kunamtu anatarifa kuhusu hawa watu?
D damuth Member Joined Feb 5, 2014 Posts 11 Reaction score 2 Jun 4, 2014 #2 wanakaribia kutoa short list yao maana zoezi la upokeaji maombi limekamilika
NetworkEngineer JF-Expert Member Joined Jun 21, 2012 Posts 1,974 Reaction score 1,210 Jun 4, 2014 #3 Kumbe tupo wengi tunaosubil kwa hamu, ila huo mchakato uko chini ya tume ya ajira.