Kipaumbele cha Lowassa ni haya mambo matatu:
1. Elimu
2. Elimu
3. Elimu
Haitaji kusema kwani kashasema mara nyingi hata akiwa kule kwa magamba
Elimu ni ufunguo wa maisha
Mtu aliyeelimika hadanganywi kama sasa ccm wanavyofanya
Mtu akiwa na elimu anajua haki zake
Mtu akiwa na elimu haogopi
Taifa lenye wasomilina maendeleo
Taifa lenye wasomi haliogopi kuunfana na mataifa mengine, Tz tunawaogopa sana majirani zetu kwa sababu ya elimu yetu duni
Kiwango cha wanaojua kusoma na kuandika Tz imeshuka sana baada ya Mwalimu kung'atuka 1985
Yeyote anayesema Tanzania kuna wasomi na yeye hajitambui
Kiongozi yeyote anayekuja na kipaumbele mbali na elimu ni muongo na atafanya kama CCM walifanya kwa zaidi ya miaka 50 iliyopita