Nina uhakika leo kama si kile kichaka cha matokeo ya penati walichojificha viongozi wa Simba hali ingekua mbaya sana.
Leo yanga walistahili kushinda ila mpira ume kataa.
Yanga watazidi kuimarika na sina shaka vikombe vinakuja.
Hakuna mwana simba yoyote aliyekua na Amani mpaka matuta yalipo jibu.
Sent from my SM-A032F using
JamiiForums mobile app