Poleni sana mi niko Dar naifurahia Azam kwa raha zangu, kitu HD!
hata Dar na sisi tulionunua vya startimes naona mambo kama huko TING na Continenta, eeee TCRA mtunusuru na haya majanga ya wachina
Hii thread imeanzishwa na mtoto wa Bakhresa (Azam).
Hii thread imeanzishwa na mtoto wa Bakhresa (Azam).