Huko ulipopataja hakufai watu wameingizwa na kuchaguliwa bila kufata taratibu.
sana sana hao jamaa wakiwa bar kutwa kuwapiga watu mkwala,ndomana wanaishia kutoa siri za nchi tu.
CCM wameua nchi..
System ya kihuni isiyoruhusu akili kubwa za watu kuonekana.wajinga ndio wanapewa nafasi.