Tutafanya kama igunga wanaleta pesa tunakula ccm tunalala cdm watakiona 2015,na watakao pata nafasi za kusimamia uchaguzi kwa wale wa vijijini watusaidie kitu kimoja kwawale ambao awajui kusoma na kuandika kura zetu zile kwa cdm,walio wahi kusimamia watanielewa naongelea nini,ya tutakaba kila kona kuakikisha cdm tunaiweka madalakani.