Vijana wadogo 70 kati ya miaka 13 hadi 19 hupata ukimwi kila siku

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,425
21,927
Jana ilikua siku ya ukimwi duniani utafuti ulio fanywa umeonyesha kwamba kila siku vijana wapatao 70 kuambukizwa na virusi vya ukimwi kila siku.

Wazazi wana shauriwa kukaa na watoto wao na kuwaeleza ukweli kuhusu hatari ya kujiamiana wakiwa bado umri haujatimia.
Umasikini kuporomoka kwa maadili na kuvunjika kwa ndoa ndo vyanzo vikuu vya vijana wadogo kupata virusi vinavya sababishwa ukimwi.
 
Hali inatisha sana
 
Siku hizi vitoto vya shule ni hateri kuliko watu wazima kwasbb serikali nyingi zimepunguza kampaini ya kuzuia ukimwi kwahiyo watoto wengi hajui hatari ya ukimwi, wa naona kawaida tu.
 
Vibinti vingi vitawamaliza vijana wakiume wasiojielewa, vinatoa Virusi kwa majibaba yanayoitwa madanga , na kupeleka kwa vijna wa rika Lao.
 
Wazungu wanatumia women empowerment kualibu maadili ya watoto, na kuwafanya wanawake wawe bize na kazi badala ya kulea familia, Tukatae 50% 50%
 
Chanjo ya UKIMWI ni ke usilale na me, na me usilale na ke

Bila kulalana hakuna Ukimwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…