Masiihid Dajjaal Member Joined Oct 18, 2018 Posts 9 Reaction score 7 Sep 26, 2019 #1 Nimegundua siku hizi vijana wengi hatuwezi kujenga nyumba, nini ipo tabu.?? Tunakwama wapi kwani.?? ?
Nimegundua siku hizi vijana wengi hatuwezi kujenga nyumba, nini ipo tabu.?? Tunakwama wapi kwani.?? ?
Negemu Senior Member Joined Dec 26, 2017 Posts 138 Reaction score 138 Sep 26, 2019 #2 Sema Mimi,sio vijana
T TANZANIAN NINJA JF-Expert Member Joined Apr 19, 2018 Posts 455 Reaction score 541 Sep 26, 2019 #3 Ungesema tunashindwa kumiliki biashara hai inayokua ningekuekewa! Nyumba wengine siyo kipaumbele.
kanyela mumo JF-Expert Member Joined Jun 16, 2016 Posts 2,034 Reaction score 2,119 Sep 26, 2019 #4 Kama huweki Akiba kwa kile unachopata labda mjenge ndotoni. Hakuna raha kama kulewa Jamaica uku upo kwako. Au kupata matatizo lakini upo kwako na Muda mwingine hata kuachia ushuzii mzito ukiwa kwako ni burudani.
Kama huweki Akiba kwa kile unachopata labda mjenge ndotoni. Hakuna raha kama kulewa Jamaica uku upo kwako. Au kupata matatizo lakini upo kwako na Muda mwingine hata kuachia ushuzii mzito ukiwa kwako ni burudani.
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,190 Reaction score 128,243 Sep 26, 2019 #5 hatujengi nyumba tunanunua nyumba.