kwa sababu kila mtu ana expectations zake anavoingia kwenye relationship, so kumdaka mtu kirahisi mvutie kwa malengo yake ufanikiwe kumpata then mengine baadae
kwa sababu ya Tamaa na ubinafsi..Kwa wale wakristo neno linasema kuwa siku za mwisho watu watakuwa wenye kupenda fedha na wenye kujipenda wenyewe na UPENDO wa wengi utapoa..