Vijana na Mapenzi.

Dr.Toy

Member
Joined
Jul 30, 2012
Posts
43
Reaction score
7
Kwa nini vijana wengi wanadanganyana kwenye suala la Mapenzi?
 
Kwa sababu wzee wako kimya hawataki kuwaambia experience zao zilikuaje.....
 
kwa sababu kila mtu ana expectations zake anavoingia kwenye relationship, so kumdaka mtu kirahisi mvutie kwa malengo yake ufanikiwe kumpata then mengine baadae
 
kwa sababu you can not fight against nature
 
Kwa sababu vijana hawapendi ukweli, wanapenda uwongo................ Ukiwa mwongo ni rahisi kuwini ktk relationship kuliko mkweli
 
Kwa sababu ya teknolojia imekaa kiongouongo ndo maana vijana wanakuwa waongo!!
 
kwa sababu ya Tamaa na ubinafsi..Kwa wale wakristo neno linasema kuwa siku za mwisho watu watakuwa wenye kupenda fedha na wenye kujipenda wenyewe na UPENDO wa wengi utapoa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…