Hujui thamani yake ndio maana unaongea pumba..ndio maana kuna mbuzi na kuku. Kwanini unanunua Bata Bukini laki 3 paka laki 4 kwa pear? Na Bata maji ni 40,000 kwa pear?
Hujui thamani yake ndio maana unaongea pumba..ndio maana kuna mbuzi na kuku. Kwanini unanunua Bata Bukini laki 3 paka laki 4 kwa pear? Na Bata maji ni 40,000 kwa pear?
70 wana miezi mi4 wakiwa wakubwa si itakua gharama ya mahali kabisa?by the way hao kuku ni dili mjini na ni wazito na wana bei kidogo compare na kuku wengine bt kwa hiyo bei no thankyu ntakutafutia wateja