Vifaa vya video production

Vifaa vya video production

Biashara2000

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2013
Posts
624
Reaction score
548
Habari. Steadicam zinauzwa mpya kwa ajili ya camera zenye uzito wa kg 0 - 5 kuanzia camera zote za DSLR mfano canon 7D nk na pia camera nyingine za miniDV na HD. Bei yake ni 450,000. Chini nimekuwekea picha zake na unaweza wasiliana nami kwa watsup nikutumie video sample kutoka kwa watengenezajiili upate picha ni video za aina gani utatengeneza na vifaa hivi. Fikiria ni jinsi gani utakavyoongeza thamani ya production yako.

mXquW00ZLkIYHt1tV6kUhWQ.jpg


Pia kuna slider au dolly unayoweza iweka kwenye tripod 350,000


1452644837613

Vyote HV vinafaa kwa film production, music video, wedding nk

Matte boxes kuanzia 100,000. Nitafute km uko interested ktk 0758 308 193
 
nataka kuanza biashara ya kushoot weddings, sherehe mbalimbali, video production husuani films, wanamuziki nakadhalika
Camera zinazorekodi zipo nyingi na zinazoweza kurekodi hayo matukio unayotaka kwa ubora mzuri tuu ntataja chache Cannone 1100,Nikon 3100,3200,4200,5200,7200 au Nikon D 90 hizo pia zimetofautiana bei ila Lens ianzie 18mm mpaka 55mm na ingine ya 55mm mpka 200mm au ukipata 18mm mpaka 200mm ni bora zaidi.
 
Camera zinazorekodi zipo nyingi na zinazoweza kurekodi hayo matukio unayotaka kwa ubora mzuri tuu ntataja chache Cannone 1100,Nikon 3100,3200,4200,5200,7200 au Nikon D 90 hizo pia zimetofautiana bei ila Lens ianzie 18mm mpaka 55mm na ingine ya 55mm mpka 200mm au ukipata 18mm mpaka 200mm ni bora zaidi.
asante sana mkuu wangu nashukuru sana ngoja nizitafute
 
Vifaa kwa vilivyobaki ni matte boxes pekee. Hizo ni kwa ajili ya kuzuia mwanga wa jua kupiga kwenye lens. Zilizibaki ni zile za ki professional zenye focus puller. Bei yake unit ni sh. 200,000

PROAIM-3.jpg
 
Camera zinazorekodi zipo nyingi na zinazoweza kurekodi hayo matukio unayotaka kwa ubora mzuri tuu ntataja chache Cannone 1100,Nikon 3100,3200,4200,5200,7200 au Nikon D 90 hizo pia zimetofautiana bei ila Lens ianzie 18mm mpaka 55mm na ingine ya 55mm mpka 200mm au ukipata 18mm mpaka 200mm ni bora zaidi.
BEI JE ZINAWEZA KUFIKA SHILINGI NGAPI HIZO MKUU.
 
kwa sasa zimebaki tu steadcam kwa ajili ya kufanya video yako iwe na smooth motion hata km unashuti huku unakimbia

DSC_6822.jpg


Bei iliyoko ktk OFA maalumu ya muda ni Tsh. 400,000 tu.
 
Kyata sasa hivi drone zimeingiliwa kwa maana zipo brand nyingi sana na pia bei ipo chini na ubora pia sio kivile ila ntauliza kwa jamaa zangu wanaotumia sana hizo kujua ipi bora zaidi ila kununua hapa SA ni USD 100 mpaka USD 200 maana zipo zingine zinastack sana ukitaka kuishusha inagoma hewani...
 
Kyata sasa hivi drone zimeingiliwa kwa maana zipo brand nyingi sana na pia bei ipo chini na ubora pia sio kivile ila ntauliza kwa jamaa zangu wanaotumia sana hizo kujua ipi bora zaidi ila kununua hapa SA ni USD 100 mpaka USD 200 maana zipo zingine zinastack sana ukitaka kuishusha inagoma hewani...
Poa mkuu, Asante kwa ufafanuzi
 
Mzigo mpya umeingia wa taa kwa ajili ya ya interview, film na viddeo production. Ni taa zenye mwanga soft ikimaanisha mwanga sio mkali ya kungaza sura. Mfano ktk hii picha kushoto ni subject akiwa taa imezimwa na kulia ikiwa imewashwa. Utaona jinsi ilivyo nzuri na kuongeza ubora ktk jazi yaki. Hata ktk sherehe za harudi au birthday km unafanya video production inafaa

Bei ya promotion ni Tsh. 450,000 baadae tutapandiha kusnzia september. Piga simu km unahitaji

images (6).jpg


images (4).jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom