Yes, itakua ni plot/mali ya NHC lakini wameingia partnership na MS Radha construction ltd (ni PPP framework-Public-Private partnership policy). Magorofa mengi ya NHC maeneo hayo ukisoma mabango yake yanajengwa kwa mfumo huo.
Yes, itakua ni plot/mali ya NHC lakini wameingia partnership na MS Radha construction ltd (ni PPP framework-Public-Private partnership policy). Magorofa mengi ya NHC maeneo hayo ukisoma mabango yake yanajengwa kwa mfumo huo.
Huyu Mchizi alijitolea sana kusaidia kuokoa hadi pale wanajeshi na jkt walipofika baada ya masaa matatu kumfukuza Hongera sana mkuu alisikitika kufukuzwa na Polisi. ambao hawakusaidia kitu zaidi ya kufukuza watu wasisaidie. kwani polisi walisumuka watu na kuwasababishia wengine majeruhi.
View attachment 88527 huyu sikuwa na maelezo yake kama alikuwa ni mhanga au mfiwa au! lakini alikuwa anaonekana na machungu sana huku akisaidiwa kutembea
Watapewa misaada na Serikali kama Wahanga hivyo aina hiyo watakuwa wengi. Pia anaweza kuwa TISS ili wapate habari, check macho yake hakutaka picha. Kazi ipo.
buuuuuu Mzugu wa jangwani nae alikuja na mikwara balaa na kijiko chake huku akitishia watu na kijiko cheke kuwagonga wasipopisha mwishowe alifika kwenye tukio akatulizwa bila ya kuwa na la kufanya... ndio ikawa mbio za sakafuni zikaishia ukingoni
German Sheppard hawakukosa japo walikuwa hawana kazi kwani kifusi kuisha ni kazi na mvua zimeshaanza kujongea...
Kwa jinsi hiyo ardhi inavyochimbwa chimbwa hapo City Centre mbona yataanguka mengi tu, ukiangalia kwa haraka tu kuna maghorofa zaidi ya 15, yanayojengwa hapo City Centre kwa umbali usikozidi SqKm 1,