VIDEO: Ghorofa lililoanguka Dar

Mungu atuongoze, Wavuja jasho wameandamwa kila kona
 
Client ni NHC?

Duh!

Yes, itakua ni plot/mali ya NHC lakini wameingia partnership na MS Radha construction ltd (ni PPP framework-Public-Private partnership policy). Magorofa mengi ya NHC maeneo hayo ukisoma mabango yake yanajengwa kwa mfumo huo.
 
huyu sikuwa na maelezo yake kama alikuwa ni mhanga au mfiwa au! lakini alikuwa anaonekana na machungu sana huku akisaidiwa kutembea
 
Yes, itakua ni plot/mali ya NHC lakini wameingia partnership na MS Radha construction ltd (ni PPP framework-Public-Private partnership policy). Magorofa mengi ya NHC maeneo hayo ukisoma mabango yake yanajengwa kwa mfumo huo.

NHC wanaruhusu vipi kujengewa majengo yasiyokuwa na viwango?

Is NHC covered kwa risks kama hii, au ndio mabilioni hayo ni hasara ya moja kwa moja?
 
Huyu Mchizi alijitolea sana kusaidia kuokoa hadi pale wanajeshi na jkt walipofika baada ya masaa matatu kumfukuza Hongera sana mkuu alisikitika kufukuzwa na Polisi. ambao hawakusaidia kitu zaidi ya kufukuza watu wasisaidie. kwani polisi walisumuka watu na kuwasababishia wengine majeruhi.
 
View attachment 88527 huyu sikuwa na maelezo yake kama alikuwa ni mhanga au mfiwa au! lakini alikuwa anaonekana na machungu sana huku akisaidiwa kutembea

Watapewa misaada na Serikali kama Wahanga hivyo aina hiyo watakuwa wengi. Pia anaweza kuwa TISS ili wapate habari, check macho yake hakutaka picha. Kazi ipo.
 
Ivi lini itakuwa afadhali zaidi ya jana mana kila kukicha ni majangatu! Tanzania ni nomaaaa
 
hii gari baloon la wenye Duka na vyakula hapo kwenye buti kulionekana na vifurushi kama vya mchele na dengu
 
buuuuuu Mzugu wa jangwani nae alikuja na mikwara balaa na kijiko chake huku akitishia watu na kijiko cheke kuwagonga wasipopisha mwishowe alifika kwenye tukio akatulizwa bila ya kuwa na la kufanya... ndio ikawa mbio za sakafuni zikaishia ukingoni

German Sheppard hawakukosa japo walikuwa hawana kazi kwani kifusi kuisha ni kazi na mvua zimeshaanza kujongea...
 
Kwa jinsi hiyo ardhi inavyochimbwa chimbwa hapo City Centre mbona yataanguka mengi tu, ukiangalia kwa haraka tu kuna maghorofa zaidi ya 15, yanayojengwa hapo City Centre kwa umbali usikozidi SqKm 1,
 
kamati ya kuchunguza ghorofa kudondoka bado haijaundwa,au itaundwa j4 tarehe 2.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…