Very cheap iphone 4 16 gb

Very cheap iphone 4 16 gb

ligolyser

Senior Member
Joined
May 9, 2013
Posts
155
Reaction score
15
Habari wanjanvi wenzang,kwanz polen kwa mafuliko yaliyo tukumba ktk mikoa tofauti tofauti, nina iphone 4 imetumika week 3 tu nauza kwa bei ya 320000 bei haipungui,,sababu ya kuiuza nikua niliagiza simu ng'ambo ilichukua muda kidogo kuipata so nikakata tama juzjuz ndo nikanunua hii iphone,bado inahali nzuri
16gb memory
3.5 screen
5 mp camera
Call 0756664797 napatikana mwanza,kwa wale wa mikoani tuwasiliane tutaona jinsi ya kutuma,ila sipokei pesa kwa njia ya simu cz utapeli umekua mwingi sana.asanten
 

Attachments

  • 1397463327921.jpg
    1397463327921.jpg
    54.4 KB · Views: 249
  • 1397463568273.jpg
    1397463568273.jpg
    74.6 KB · Views: 227
  • 1397463591022.jpg
    1397463591022.jpg
    105.4 KB · Views: 208
  • 1397463619790.jpg
    1397463619790.jpg
    118.4 KB · Views: 195
unaiuza kwa nini sasa mkuu maana inaonesha bado hiyo simu ya ngambo haijaja ama ishazingua
 
Sijawai kutumia copy/clone na wala sijui zinafananaje,,original,,mtafute mtu anaezijua af mwoneshe izo picha akwambie
 
Habari wanjanvi wenzang,kwanz polen kwa mafuliko yaliyo tukumba ktk mikoa tofauti tofauti, nina iphone 4 imetumika week 3 tu nauza kwa bei ya 320000 bei haipungui,,sababu ya kuiuza nikua niliagiza simu ng'ambo ilichukua muda kidogo kuipata so nikakata tama juzjuz ndo nikanunua hii iphone,bado inahali nzuri
16gb memory
3.5 screen
5 mp camera
Call 0756664797 napatikana mwanza,kwa wale wa mikoani tuwasiliane tutaona jinsi ya kutuma,ila sipokei pesa kwa njia ya simu cz utapeli umekua mwingi sana.asanten

Mkuu utapata mteja ucjal wala nn.!! Wazoee watu wa jf ndo walivyo
 
Mkuu utapata mteja ucjal wala nn.!! Wazoee watu wa jf ndo walivyo

Asante sana kaka,kuna watu humu wapo kuharibu bihashara za watu,wasiojua simu orgn ndo wanabaki kukejeli watu,wengine waga wanauza vitu vyao kwa bei nafuu ili watatue shida zao kwa wakati,sasa ukiweka bei ndogo ndio zarau za watu zinapoanza kuja,,
 
Back
Top Bottom