Inahitajika gari tajwa hapo juu iwe inatumia Battery moja na ambayo imeshatumika hata hapa Nchini Engine iwe haijawahi kushushwa na isiwe kimeo karibuni.
Niaje mkuu! Hiyo ni hzj ambayo ni # ya chases ya hyo cruiser.
Kingine funguka zaidi khsu spec ya hyo cruiser mfano aina gani ya engen inatakiwa na Taja offer ya bei ya kununua!
Niaje mkuu! Hiyo ni hzj ambayo ni # ya chases ya hyo cruiser.
Kingine funguka zaidi khsu spec ya hyo cruiser mfano aina gani ya engen inatakiwa na Taja offer ya bei ya kununua!
Nmeku pm swali lingine hizi gari ziko aina mbili kna moja inakuja na lif spring mbele na nyuma
Na kuna ingine mbele ina coil spring na nyuma ona lif spring, ipi kati ya hiyo
Nmeku pm swali lingine hizi gari ziko aina mbili kna moja inakuja na lif spring mbele na nyuma
Na kuna ingine mbele ina coil spring na nyuma ona lif spring, ipi kati ya hiyo