M mwendapole12 Member Joined Apr 2, 2022 Posts 21 Reaction score 26 Jun 1, 2023 #1 Wakuu nini surulisho la kuondoa uvimbe huu unaotokea baada ya kutoboa sikio
Dr Matola PhD Platinum Member Joined Oct 18, 2010 Posts 61,558 Reaction score 109,093 Jun 1, 2023 #2 Keroit hiyo, ngoja wataalam waje kuna sindano inapigwa hapohapo kwenye uvimbe.
kricho Member Joined Oct 6, 2016 Posts 78 Reaction score 54 Jun 1, 2023 #3 Dr Matola PhD said: Keroit hiyo, ngoja wataalam waje kuna sindano inapigwa hapohapo kwenye uvimbe. Click to expand... Keloid
Dr Matola PhD said: Keroit hiyo, ngoja wataalam waje kuna sindano inapigwa hapohapo kwenye uvimbe. Click to expand... Keloid
Interlacustrine R JF-Expert Member Joined Jan 22, 2022 Posts 8,157 Reaction score 15,978 Jun 1, 2023 #4 Watu mnaweweseka sana na hii dunia, kuna ulazima gani kutoboa toboa matundu mwilini?
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 61,148 Reaction score 124,752 Jun 1, 2023 #5 Interlacustrine R said: Watu mnaweweseka sana na hii dunia, kuna ulazima gani kutoboa toboa matundu mwilini? Click to expand... Nisingekuona kwenye huu uzi ningekutunuku weekend hii
Interlacustrine R said: Watu mnaweweseka sana na hii dunia, kuna ulazima gani kutoboa toboa matundu mwilini? Click to expand... Nisingekuona kwenye huu uzi ningekutunuku weekend hii
Interlacustrine R JF-Expert Member Joined Jan 22, 2022 Posts 8,157 Reaction score 15,978 Jun 1, 2023 #6 Khantwe said: Nisingekuona kwenye huu uzi ningekutunuku weekend hii Click to expand... [emoji28]