mwendapole12
Member
- Apr 2, 2022
- 21
- 26
Wakuu nini surulisho la kuondoa uvimbe huu unaotokea baada ya kutoboa sikio
KeloidKeroit hiyo, ngoja wataalam waje kuna sindano inapigwa hapohapo kwenye uvimbe.
Nisingekuona kwenye huu uzi ningekutunuku weekend hiiWatu mnaweweseka sana na hii dunia, kuna ulazima gani kutoboa toboa matundu mwilini?
Nisingekuona kwenye huu uzi ningekutunuku weekend hii
