Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Komred kheri Denice James leo ameongoza Kikao Cha Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Taifa Katika Ukumbi wa Sekretarieti Jijini Dodoma.
Pia jumuiya hiyo imewateua Ndugu Leonard Singo kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya uhamasishaji na chipukizi, Ndugu Bilal Maulid kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya Oganaizesheni na Ndugu Asha Feruz kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya vyuo, vyuo vikuu na uhusiano wa kimataifa pamoja na Ndugu Lusekelo Nelson kukaimu nafasi ya Katibu wa idara ya uchumi, uwezeshaji na mipango.
Mkuu tunataka tuone hawa ma-think tank wa Taifa kama WANA uwezo wa kuchambua mambo kwa hoja na sio kuwa walopokaji.tujue uimara na uwezo wa taasisi hizi muhimu za kisiasa
Mkuu hebu Fanya ushawishi hapo Lumumba tuone kama kweli Bavicha tutawagalagaza.maana wanajiona vichwa na wenye kujenga hoja??.Lakini nakumbuka hata Tido alianzisha kwa wagombea uchaguzi wa 2010 ila ccm wagombea wetu waliingia mitini!!!
Mkuu hebu Fanya ushawishi hapo Lumumba tuone kama kweli Bavicha tutawagalagaza.maana wanajiona vichwa na wenye kujenga hoja??.Lakini nakumbuka hata Tido alianzisha kwa wagombea uchaguzi wa 2010 ila ccm wagombea wetu waliingia mitini!!!
Haa Tido alitaka kuharibu kura zetu, ujue alianza mahojiano kipindi cha uchaguzi, alafu alitaka kila mgombea ubunge hadi Rais afanye live broadcast ya kumhoji kama US Style.. Tukaona isiwe shida, akaliwa kichwa.. Haaa, sbb angevuruga, aite kipindi hiki uone moto wake.
CCM tuko IQ kali Leonardo Da Vinci anasubiri😅😅