Uume kusinyaa

Hii itakuwa punyeto
 
Matibabu

1.pendelea sana kula vitungu swaumu jioni na asubuhi.menya vitatu km ni vidg au viwili km ni vikubwa.shushia na maji ya vugu vugu.badae piga mswaki(mshana jr)

2.changanya asali na mdalasini.vijiko vitatu vya asali kimoja cha mdalasini na ulambe asubuhi na jioni au chemsha chai ya mdalasini weka asali, tangawizi kali uwe unakunywa kila siku(mexi melo.CEO jf)

3.piga mixer ya matiki maji, karoti, ndizi na parachichi.

#fanya hivo mdau usipofanikiwa basi inahitaji maombi.mwisho kumbuka kusali
 
Bila kusahau maji mengi na mazoezi
 
Kama anaona anapiga bao mapema ni vyema anapokaribia kileleni achomoe mzee kidogo ili arudi katika normal level.unaweza kuzuga kama unabadilisha style ila unampumzisha mzee kidogo
Akigoma simama je ukshamchomoa?
Ile unajifanya unabadilisha style ikasinyaa na ikagoma ingia
 
Mm pia nina hili tatizo sema nina miaka 6 toka niache punyeto je n njia gan sahihi nichukueee ndugu
 
Mm pia nina hili tatizo sema nina miaka 6 toka niache punyeto je n njia gan sahihi nichukueee ndugu
Hakikisha unakunywa chai yenye karafuu kila siku ukichanganya na Tangawizi + asali utakuja nishukuru baadae.

ONYO: ulizoea kutumia hoyo nyege ni kama zote kila saa unahisi unataka K
 
Hakikisha unakunywa chai yenye karafuu kila siku ukichanganya na Tangawizi + asali utakuja nishukuru baadae.

ONYO: ulizoea kutumia hoyo nyege ni kama zote kila saa unahisi unataka K
Tangawizi +Asali je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…