Utumishi, tatizo ni nini?

kweli wanaboa sana walisema hata mwez haufiki, lkn hadi leo mwez ushapita.
 
Jioni ya leo au kesho wataweka majina ya waliofuzu tayari kwa kuanza kazi, hongera kwa watakaopata, tutakaokosa tusikate tamaa. One day yes.

kweli this is jf yametoka kweli.......niliomba pia japo nimefeli tuwapongeze waliopita naendelea kutuma kama kawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…