Kwa mara ya kwanza nimefanya interview ya utumishi. Ninamshukuru Mungu sana kwa hii nafasi, ukweli nimepata experience na changamoto, naimani ndio mwanzo wangu inshaallah nitaendelea kujiboresha.
Kada ilikuwa maendeleo ya jamii(Community Development Officer )
Aisee kule ndani sio poa.