Will i.a.m
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 347
- 49
Taarifa kwa Umma kusuhu Tangazo la kazi la tarehe 26 Machi, 2013. [TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="colspan: 2"] Waombaji wa nafasi za kazi Serikalini kwa tangazo lililokuwa limetolewa tarehe 26 Machi, 2013 kupitia Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ambalo mwisho wa kutuma maombi ilikuwa terehe 9 Aprili, 2013 wametakiwa kuangalia majina yao katika tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kuanzia tarehe 13 Mei mwaka huu ili kujua endapo wamechaguliwakwa ajili ya kufanya usaili wa nafasi walizoomba. Naibu Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Lucas Mrumapili amesema ofisi yake imepokea jumla ya barua za maombi ya kazi 20,763 ambazo mchanganuo wake kwa tangazo la Kiingereza imepokea barua za maombi 6,332 na kwa tangazo la Kiswahili imepokeabarua za maombi 14,431 ambapo Ofisi yake iko katika hatua za mwisho za kukamilisha uchambuzi wa maombi hayo ili kuweza kuendelea na zoezi la usaili.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]
[TR]
[TD="colspan: 2"] Waombaji wa nafasi za kazi Serikalini kwa tangazo lililokuwa limetolewa tarehe 26 Machi, 2013 kupitia Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ambalo mwisho wa kutuma maombi ilikuwa terehe 9 Aprili, 2013 wametakiwa kuangalia majina yao katika tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kuanzia tarehe 13 Mei mwaka huu ili kujua endapo wamechaguliwakwa ajili ya kufanya usaili wa nafasi walizoomba. Naibu Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Lucas Mrumapili amesema ofisi yake imepokea jumla ya barua za maombi ya kazi 20,763 ambazo mchanganuo wake kwa tangazo la Kiingereza imepokea barua za maombi 6,332 na kwa tangazo la Kiswahili imepokeabarua za maombi 14,431 ambapo Ofisi yake iko katika hatua za mwisho za kukamilisha uchambuzi wa maombi hayo ili kuweza kuendelea na zoezi la usaili.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[/TABLE]