Tetesi: UTT-AMIS

Inawezekana kweli. Mie sipo huko. Ila week 2 zilizopita nimekuwa nikideal na mteja aliedai kwamba hadi sasa hajalipa chochote kwasababu utt hawajamlipa na walimwambia siku 5 za kazi lakini hawajamlipa lakini final j5 wamemlipa kitita chake na sasa anaenjoy na project yake inarun smoothly.
 
UTT na wanahisa ??? Mhh mtoa mada taarifa umeokota sijui wapi ?
 
UTT haiwez sumbua mkuu, labda serikali ife
Kabisa mkuu..watu wanajua labda UTT wanakusanya pesa na kuzi hold,wakati mtu akiweka pesa na wao hununua Aidha Hisa ama bond za serikali..na hatimaye faida ikipatikana ndo unalipwa wewe.
 
Ila kwa mambo yalipofikia....imani imekua chini sana
MKuu serikali ikiamua,hata hivyo vihela vyako ulivyoweka nmb watachukua na huna cha kufanya,halafu muelewe UTT hawatunzi pesa ya mtu,wao wakichukua hyo pesa yako,wanaenda kuwekeza maeneo mbali mbali,ikiwemo kwenye mabenki kwenye account maalumu za riba,wanaweka hela kwenye bond za serikali na pia wanaweka kwenye Hisa..

Ile faida ikipatikana,ndo unalipwa wewe sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…