Namaanisha vyeti vya shule vinasomeka kwa majina mawili tu lakini NIDA Kuna majina matatu mfano Kwenye vyeti Hamis Isdor,lakini Kwenye NIDA ni Hamis Isdor Abel
Hujaelezea changamoto yako kwa uwazi kwa hiyo ni vigumu kutoa ushauri.
Mfano
-ungetuambia huo utofauti wa majina ukoje?
-unapata au umepata shida gani kutokana na huo utofauti?
-ni vyeti gani vimetofautiana majina na NIDA yako?
Elezea shida yako vizuri ili usaidike/upewe ushauri badala ya kuhojiwa maswali
Namaanisha vyeti vya shule vinasomeka kwa majina mawili tu lakini NIDA Kuna majina matatu mfano Kwenye vyeti Hamis Isdor,lakini Kwenye NIDA ni Hamis Isdor Abel
Mbona hakuna utofaut hapo si jina tu limeongezeka mwanzo halikuepo mimi nimesomea majina mawali tu lkn ninapolazimika kuongeza la ukoo naongeza sijawah kua na changamoto