Sijaona sehemu yoyote hapa kwenye thread yake kuwa hiyo binti ni mwanafunzi, wachangiaji wameshamhukumu na kumchagulia gereza mara KEKO mara SEGEREA. Ni vema itambulike kwa GT kuwa sheria ya ndoa ya JMT inaruhusu binti kuolewa akiwa na umri wa kuanzia miaka 15 na hata 14 mazingira yakibidi , sasa huyu ni zaidi kwani ana miaka 17. Namshauri kijana kama anampenda kwa dhati amuoe na aachane na mawazo ya kumuacha."No person shall marry who, being male, has not attained the apparent
age of eighteen years or, being female, has not attained the apparent age of fifteen years."
In addition, a court may give leave for the marriage of a
fourteen-year-old girl, if the court "is satisfied that there are special
circumstances which make the proposed marriage desirable."
Law of Marriage Act of 1971, § 13(1),
TANZANIA LAWS [CAP 29 R.E. 2002].