Posho City
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 648
- 418
Wadau tangu jana tume ya ajira wametoa majina ya kwenda kufanya interview kwa kada mbalimbali kwa wale walooma nafazi za kazi zilizotangazwa July 2013.
Utata ni pale ambapo kuna watu tuliomba kazi Kibaha Education Centre(KEC) kipindi hicho July pamoja na hawa waloitwa interview.Pia katika tangazo hili la kuita usaili pale kwenye utangulizi walipozitaja taasisi zitakozohusishwa kwenye usaili hata Kibaha education centre imetajwa ila ukiingia kwanye majina taasisi hyo haipo kabsa.
Sasa je wamesahau au inamaanisha nini
Wadau tangu jana tume ya ajira wametoa majina ya kwenda kufanya interview kwa kada mbalimbali kwa wale walooma nafazi za kazi zilizotangazwa July 2013.
Utata ni pale ambapo kuna watu tuliomba kazi Kibaha Education Centre(KEC) kipindi hicho July pamoja na hawa waloitwa interview.Pia katika tangazo hili la kuita usaili pale kwenye utangulizi walipozitaja taasisi zitakozohusishwa kwenye usaili hata Kibaha education centre imetajwa ila ukiingia kwanye majina taasisi hyo haipo kabsa.
Sasa je wamesahau au inamaanisha nini
Muungwana, uliomba nafasi gani pale KEC, nikujuze kinachoendelea kuhusu hizo nafasi
Wadau tangu jana tume ya ajira wametoa majina ya kwenda kufanya interview kwa kada mbalimbali kwa wale walooma nafazi za kazi zilizotangazwa July 2013.
Utata ni pale ambapo kuna watu tuliomba kazi Kibaha Education Centre(KEC) kipindi hicho July pamoja na hawa waloitwa interview.Pia katika tangazo hili la kuita usaili pale kwenye utangulizi walipozitaja taasisi zitakozohusishwa kwenye usaili hata Kibaha education centre imetajwa ila ukiingia kwanye majina taasisi hyo haipo kabsa.
Sasa je wamesahau au inamaanisha nini
Muungwana, uliomba nafasi gani pale KEC, nikujuze kinachoendelea kuhusu hizo nafasi
Wadau tangu jana tume ya ajira wametoa majina ya kwenda kufanya interview kwa kada mbalimbali kwa wale walooma nafazi za kazi zilizotangazwa July 2013.
Utata ni pale ambapo kuna watu tuliomba kazi Kibaha Education Centre(KEC) kipindi hicho July pamoja na hawa waloitwa interview.Pia katika tangazo hili la kuita usaili pale kwenye utangulizi walipozitaja taasisi zitakozohusishwa kwenye usaili hata Kibaha education centre imetajwa ila ukiingia kwanye majina taasisi hyo haipo kabsa.
Sasa je wamesahau au inamaanisha nini
thx sna ndugu nimeziona hzo post,,nlifkir imeshapita coz n mda mref sna na la kumshkur Allah nimeitwa sehem 3
dua zenu wana jamvi daah!!!!
Vipi kuhusu kada ya Academic officer II,CBE ,Binafsi sijaona tarehe wala mahali pa kufanyia usahili,muongozo tafadhali.