kihuba
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 264
- 265
Ndugu yangu tofauti kubwa kati ya mtu aliyefanikiwa na wengine sio *Elimu* wala *kipaji*,
bali ni kushindwa *kuthubutu*.
We endelea kukimbiza mbawa zako kama *kunguru mwoga*
♂endelea kuogopa *risk* ♀
♂ endelea kutafuta kazi zenye *security *
♂ endelea kuilaumu *serikali* kwa ugumu wa maisha yako,
♂endelea kusubiri kupandishwa *cheo* na kuongezewa *mshahara (increment)*
♂ endelea kuficha pesa zako kwenye *kibubu* badala ya ku *invest*,
♂ endelea kuwa na msimamo *hasi (negative mind set)* juu ya biashara ya *mtandao*
♂endelea kuleft kwenye ma group ya *fursa* mbalimbali, *uwekezaji* na *ujasiria mali*, ♀
♂endelea kujoin kwenye ma group ya *udaku* na ku *like* habari za *umbea* face book na Instagram
♂endelea tu kusoma vitabu vya hadithi za malavidavi na udaku badala ya kusoma vitabu vya ujasiriamali na uchumi
♂ endelea kusikiliza ushauri wa watu *wanao kuvunja moyo* na *kukukatisha tamaa* ,
♂endelea kupuuzia ushauri wa watu wanaokutakia *mafanikio* na kukupa new *ideas*
bali ni kushindwa *kuthubutu*.
We endelea kukimbiza mbawa zako kama *kunguru mwoga*
♂endelea kuogopa *risk*
♂ endelea kutafuta kazi zenye *security
♂ endelea kuilaumu *serikali* kwa ugumu wa maisha yako,
♂endelea kusubiri kupandishwa *cheo* na kuongezewa *mshahara (increment)*
♂ endelea kuficha pesa zako kwenye *kibubu* badala ya ku *invest*,
♂ endelea kuwa na msimamo *hasi (negative mind set)* juu ya biashara ya *mtandao*
♂endelea kuleft kwenye ma group ya *fursa* mbalimbali, *uwekezaji* na *ujasiria mali*,
♂endelea kujoin kwenye ma group ya *udaku* na ku *like* habari za *umbea* face book na Instagram
♂endelea tu kusoma vitabu vya hadithi za malavidavi
♂ endelea kusikiliza
♂endelea kupuuzia ushauri wa watu wanaokutakia *mafanikio* na kukupa new *ideas*