Usisahau katika maisha yako

Mjusi Sharobalo

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2025
Posts
7,580
Reaction score
13,049
Usiishi katika wakati wa nyuma, usiwe na ndoto kubwa kupita kiasi wakati ujao, wekeza nguvu zako wakati ulionao kwa sasa.

Usisahau mipango endelevu ya wakati ujao, hekima ya mtu huanza pale anapoukubari ujinga alionao... Mjusi sina baya.
 
Kuzingatia sasa na kupuuza ndoto kubwa au historia ya yaliyo pita hakuonyeshi hekima.

Hekima ni kujifunza kutoka zamani, kuishi sasa kwa busara, na kupanga kesho kwa akili.
Siwezi kupinga kwa sababu binadamu tumeumbwa na mitazamo tofauti katika jambo moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…