usione ukadhani

aduwilly

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2009
Posts
1,191
Reaction score
320
usione wanajenga majumba ya kifahari ukadhani wachacharikaji, wanapunda wao wanaowatumia

usione anashindwa kufanya maamuzi magumu ukadhani kapendi, anaogopa watamuua

usione anazunguka huku na kule kwenye nyumba za ibada ukadhani mchamungu, anautaka urais 2015

usione kila akitoa kauli bungeni inaleta utata kwenye jamii ukadhani anafanya makusudi, hajui cha kuongea

usione kila barabara ikikamilika wanaizindua kwa kuandamana ukadhani wanadai haki, ndiyo kasumba yao

usione mbuzi kanona ukadhania mzima,

usione simba kalowa ukafikiri ni nyau

in short usione ukadhani

yani usione hii thread haikuchekeshi, ina maana yake
 
Usione huoni ukadhani kweli huoni
 
usione watu hawalike wanamaana yao

Usione amesimama bungeni ukadhani anataka kuomba muongozo, wengine wamechoka wanatafuta sababu ya kutolewa nje ili wakapumzike
 
usione simba mwenda pole ukadhani ana matege, ana mmendea Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…