Usimpuuze mkeo

Dr leader

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2016
Posts
1,046
Reaction score
1,349
USIMPUUZE MKEO

Mwanamke akikasirika, mara nyingi huongea kwa maumivu sio logic

Usimjibu kwa ubishi, jibu kwa utulivu. Upole wako unaweza kubadilisha hali.

Imani yake ikivunjika, hairudi kirahisi.
Chunga maneno yako, timiza ahadi zako.

Usidhani ndoa ni mwisho wa juhudi za upendo ndio mwanzo wa kujitahidi zaidi. Mjali, mheshimu, na muonyeshe kila siku kuwa hujakosea kumchagua.

Ukianza kumpuuza, ataanza kukaa kimya… na ukimya wake utakufundisha kwa maumivu.
Wanawake wanapenda kuhisiwa wana thamani. Vitendo vidogo vinaweza kujenga au kuvunja kila kitu.
Kama una mwanamke mzuri, usimchukulie poa. Vijana wapo wanaifukuzia nafasi yako.
THAMINI KABLA HUJAPOTEZA.

✍️Abuuabdillah
 
Mwanamke unavyozidi kumpenda, kumjali na kumthamini ndivyo anazidi kukushusha thamani.

Mpe hekaheka za hapa na pale, yaani amani isidumu kwa muda mrefu sana, na daima anatakiwa kujua kwamba una options zingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…