ushauri


BABA MTOTO
Huyu haitakiwi umchukulie serious sana kwa kuwa sio mkweli na huenda amekubali kumlea mtoto kutokana na hofu ya mkewe kujua.Hapa kuna haja ya kujitazama wewe mwenyewe kama una haja ya kuwa nae serious sana
Kuna wakati sifa ya mtu inaonekana mwanzo tu wa mahusiano yenu kama utakuwa makini na kuziacha hisia na kutumia akili,huyo inaonekana alitaka tu akubanjue na alijua akikuambia ana mke utamkimbia

MPENZI WA ZAMANI
Huyu unatakiwa ujiulize ni kwanini alikuwa hakutaki mwanzo na nikwanini amekuja sasa kwa nguvu kubwa kiasi hicho,huenda huyu ametendwa huko na kinachomsukuma kuja kwako ni machungu ya kutendwa
Kama ni machungu ya kutendwa kaa nae mbalo kwani hizo hisia ni za muda tu,ikifikai zikaisha atakumwaga na kama mtakuwa mmeoana ndoa itakuwa ngumu sana kwako,kigezo cha ndoa sio sababu ya kukubali tu bila kufikiri

Pia hapo kuna kitendo cha kustua sana,ni kwanini anataka kulea mwana?je huyo jamaa anajua gharama za kulea?
Anajua ni nini maana ya kulea?
Je baba wa mtoto atakubali mtoto wake alelewe na mtu mwingine?Jiulize hili kwani kaka baba mzazi wa mwana atakataa atakuwa na haki hiyo kwakuwa ni mtoto wake
Huyu mpenzi wako wa zamani ni kitu kimemfanya awe mwema sana kwako?

Tumia akili badala ya hisia!
 

Wakati mwingine huwa nafikiri wanakuwa wanataka wenyewe!
 

Hiyo ni zawadi ya wadada wanaopenda gest na gheto! Ss umebaki na maumivu! Kwa kifupi hamshauriki! Ukijifungua mtoto akiwa mkub wa
 
Pole mie naona hapo hakuna unafuu bali utazidi kujiumiza. Kaa tafakari chukua hatua for your own future.
 

western union zinawaponza?Pengine hata mimba alitegesha ili ziongezeke?
 
Hapo ndo anaponishangaza. Kuwa mwanzoni hakumuona wa maana kwa kuwa hakuwa anamhonga so kwake akatafsiri, 'hakuonesha kunipenda' wanawake!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! utawaweza basi...

wanawake inabidi wajitazame upya kuhusu kuwaza na kutenda kwao
 

kwanza kubali ulishabugi....pili funga mapaja yako hayo na lea huyo mtoto. wote wataishia kukugegeda tuu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…