Husika na mada hapo juu,naombeni ushauri juu ya masuala ya chuo
Nimechaguliwa kujiunga chuo cha NIT na usajili unaishia tarehe 11 lakini sijafanikiwa kupata mkopo . je nifanye nini kuinusuru nafasi yangu na walitangaza beyond hiyo tarehe watafanya cancellation kwa usajili